iqna

IQNA

Mustafa Mahmoud
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /18
TEHRAN (IQNA) - Mustafa Mahmoud alikuwa mtafiti wa Qur'ani Tukufu nchini Misri, aidha aliluwa daktari, mtunzi wa fasihi na mtayarishaji wa vipindi vya televisheni.
Habari ID: 3476472    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /17
TEHRAN (IQNA) - Mustafa Mahmoud alikuwa mtafiti wa Qur'ani Tukufu wa Misri, daktari, mtunzi wa fasihi na mtayarishaji wa vipindi vya televisheni ambaye alijitahidi katika zaidi ya miongo mitano ya shughuli zake za kielimu kuwasilisha uelewa wa sayansi kwa mtazamo wa Kiislamu na kuonyesha umuhimu wa hadhi ya Uislamu na maadili katika zama za kisasa.
Habari ID: 3476446    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22